Loading...

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017

Loading...
NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017
link : NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017

soma pia


NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akizungumza katika hafla ya Waongoza watalii bora kwa mwaka 2017 iliyofanyika jana katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Wengine ni waandaji wa tuzo hiyo. ( Picha na Lusungu Helela- Maliasili)
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (katikati) akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki ( wa nane kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waongoza watalii bora kwa mwaka 2017 katika hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Wengine ni waandaji wa tuzo hiyo. ( Picha na Lusungu Helela- Maliasili)
Mkurugenzi wa Masoko wa Hifadhi ya Taifa ya Tanzania,Ibrahim Musa akikamkabidhi cheti mmoja wa washindi katika katika hafla ya utoaji tuzo kwa waongoza watalii iliyofanyika jana katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga ( wa tano kushoto) akiwa Wakurugenzi wa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na utalii katika hafla ya Waongoza watalii bora kwa mwaka 2017 iliyofanyika jana katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. ( Picha na Lusungu Helela- Maliasili)


Hivyo makala NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017

yaani makala yote NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/naibu-waziri-wa-maliasili-na-utalii.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA ATOA TUZO KWA WAONGOZA WATALII BORA KWA MWAKA 2017"

Post a Comment

Loading...