Loading...

NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR

Loading...
NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR
link : NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR

soma pia


NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR

Meneja Abdallah Mrisho na mkewe, Catherine Mdamu wakiwa katika pozi la furaha, muda mfupi baada ya kufungwa kwa ndoa yao. Meneja Mrisho na mkewe, wakiwa na wanafamilia (walioshika magazeti), wakifurahi kwa pamoja baada ya kufungwa kwa ndoa yao. Bibi Harusi, Catherine (katikati) akiwa na wanafamilia (wenye nguo nyeupe) na wafanyakazi wenzake, Women With Voices (WWV) wenye nguo za bluu. Daaab! Maharusi na wanafamilia wakiwa katika pozi maarufu kwa jina la dab! Maharusi wakiwa na wapambe wao, Said Mdoe na mkewe Wakifurahia jambo baada ya kufungwa kwa ndoa yao.

Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, jana (Jumamosi, Sept. 30,2017) alifunga ndoa ya kifahari na Catherine Mdamu, iliyolifanya Jiji la Dar es Salaam lisimame kwa muda, ikifuatiwa na sherehe ya kukata na shoka iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City. Katika sherehe hiyo, wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers wakiongozwa na mkurugenzi wao, Eric Shigongo, jamaa na marafiki, walijumuika kula, kunywa mpaka kusaza na kucheza muziki mzuri, mpaka usiku sana huku kukiwa na 'special appearance' ya Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye.

Harusi ya Abdallah na Catherine, Mlimani City - Part 1

Harusi ya Meneja Abdallah na Catherine, Mlimani City - Part 2



Hivyo makala NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR

yaani makala yote NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/ndoa-ya-meneja-wa-global-publishers.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NDOA YA MENEJA WA GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO ILIVYOFANA JIJINI DAR"

Post a Comment

Loading...