Loading...

wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge

Loading...
wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge
link : wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge

soma pia


wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge

Katibu Mkuu Ikulu Ndugu Alphayo Kidata akiongea na wafanyakazi wa Ikulu baada ya matembezi ya kutoka Ikulu mpaka Leaders Club Leo siku ya kilele cha mbio za Mwenge 14 Oktoba 2017 sambamba na maadhimisho ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambapo shughuli hizo kitaifa zimefanyika Zanzibar na Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Ikulu wakimsikiliza Katibu Mkuu Ikulu Ndugu Alphayo Kidata alipokuwa akifafanua mambo mbalimbali mapema leo.mara baada ya matembezi ya kutoka Ikulu mpaka Leaders Club Leo siku ya kilele cha mbio za Mwenge 14 Oktoba 2017 na maadhimisho ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Baadhi ya wafanyakazi wa Ikulu wakiwa katika mazoezi laini laini mara baada ya kumaliza matembezi ya kutoka Ikulu mpaka Leaders Club Leo siku ya kilele cha mbio za Mwenge 14 Oktoba 2017.


Hivyo makala wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge

yaani makala yote wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/wafanyakazi-wa-ikulu-wafanya-matembezi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "wafanyakazi wa Ikulu wafanya matembezi siku ya kilele cha mbio za Mwenge"

Post a Comment

Loading...