Loading...

WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA.

Loading...
WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA.
link : WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA.

soma pia


WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA.

Mwambawahabari 
Wazazi kote nchini wametakiwa kutenga muda mwingi kukaa na watoto wao ili waweze kuwapatia malezi yaliyo bora na yenye tija yatakayowasidia katika ukuaji kwa maisha yao ya sasa na ya baadae.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya kudhibiti ukimwi ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa hiyo Mh Manyama Mangaru alipokuwa katika ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo iliyo chini ya kamati hiyo.
Amesema ni vema wazazi wakatambua nafasi yao katika maisha ya makuzi ya mtoto na kuhakikisha wanawapatia elimu bora ya ukuaji na kujilinda dhidi ya magonjwa ambukizi na hatarishi.
Naye Ndg.Steven Mfuko ambaye ni Mkurugenzi wa Asasi ya kiraia inayojishughulisha na maswala ya uelimishaji jamii kuhusiana na afya ya uzazi amesema zipo changamoto zinazomkabili mtoto akiwa na umri mdogo ambapo zikifanyiwa kazi tutaokoa kizazi cha sasa na cha baadae.
Amezitaja changamoto hizo kuwa ni kupeleka watoto wadogo shule za bweni, wazazi kutokuwa walezi wa watoto, maswala ya utandawazi na watoto kubalehe wakiwa na umri mdogo.
Katika hatua nyingine Mh Manyangu amezitaka Asasi za kiraia kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha elimu ya afya ya uzazi kwa vijana inatolewa bila kufichwa ili waweze kutambua bayana faida na hasara za kujihusisha na maswala yasiyo na tija katika maisha ya ukuaji Kama kijana.
Kamati hii imetembelea Asasi ya Wamata iliyoko mikocheni, na Asasi ya UNA iliyoko Magomeni .
Imetolewa na
Kitengo cha Uhusiano
Manispaa ya Kinondoni.


Hivyo makala WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA.

yaani makala yote WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/wazazi-kote-nchini-wametakiwa-kutenga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZAZI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KUTENGA MUDA MREFU KUKAA NA WATOTO WAO ILI WAWEZE KUWAPATIA MALEZI YATAKAYOWAPELEKA KUWA NA MAKUZI BORA."

Post a Comment

Loading...