Loading...

Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru

Loading...
Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru
link : Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru

soma pia


Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru

Benki ya watu  Zanzibar (PBZ) imetoa msaada wa hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 50 kwa Mkuu mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ikiwa ni kuunga mkono jitihada zake za Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu Mkoa huo.

RC Makonda ameishukuru Benki ya watu wa Zanzibar kwa kumuunga mkono katika kampeni yake ya Ujenzi wa Ofisi za Walimu.

Makonda amesema kuwa Fedha hizo zitaenda kununua Mifuko 50,000 ya Saruji itakayoweza kufyatua Tofali zaidi ya 140,000 ambayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa kasi ya Ujenzi wa Ofisi za Walimu.

RC Makonda amesema kilichomgusa kuanza kampeni hiyo ni baada ya kubaini Walimu wanafanyakazi katika mazingira magumu 

Benki ya PBZ  imeweka Dawati maalumu kwenye kila Tawi la Bank hiyo kwaajili ya wananchi wanaotaka kuchangia Ujenzi wa Ofisi za Walimu.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Benki hiyo Juma Ameir Hafidhi amesema kuwa wameamua kutoa  mchango huo kutokana na kazi anayoifanya RC Makonda kutokuwa ya ubabaishaji hivyo wanauhakika fedha walizozitoa zitafanya kazi ikiyokusudiwa.
Amemuhakikishia RC Makonda kuwa wataendelea kumuunga mkono kwenye shughuli za maendeleo kwakuwa anafanya maendeleo bila kuangalia itikadi za kisiasa.


Hivyo makala Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru

yaani makala yote Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/benki-ya-watu-wa-zanzibar-yachangia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Benki ya watu wa Zanzibar yachangia Milioni 50 Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu, Makonda, ashukuru"

Post a Comment

Loading...