Loading...
title : Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan kuzindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia
link : Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan kuzindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia
Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan kuzindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia
Kaimu mkurugenzi wa shirika la wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika (WiLDAF),Anna Kulaya,akiongea wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu kampeni hizo
……………………………………………………………………….
Kampeni ya siku 16 ya kupinga ukatili wa kijinsia inayoshirikisha wadau mbalimbali wanaopinga vitendo hivyo inazinduliwa nchini kesho jijini Dar es Salaam ambapo Makamu wa Rais,Mh.Samia Suluhu Hassan, anatarajia kupokea maandamano ya wadau hao ambayo yataanzia katika viwanja vya shule ya msingi ya Muhimbili na kuishia katika viwanja vya leaders.
Kampeni hizo ambazo hufanyika duniani kote kwa hapa nchini zinaratibiwa na Shirika lisilo la kiserikali la wanawake katika sheria na Maendeleo Afrika (WiLDAF) kwa kushirikiana na Mtandao wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (MKUKI) ,Wadau wa Maendeleo na Asasi za Kiraia
Mwaka huu kampuni ya Tanzania Breweries Limited,TBL chini ya kampuni mama ya ABINBEV imejitosa katika kampeni hizo ambazo itasambaza jumbe mbalimbali za kuelimisha jamii kupitia kampeni yake ya #NO EXCUSE!!! ACHA SABABU, BADILIKA inayoenda sambamba na kampeni yake ya kuelimisha jamii juu ya Unywaji wa kistaarabu
Hivyo makala Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan kuzindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia
yaani makala yote Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan kuzindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan kuzindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/makamu-wa-rais-mh-samia-suluhu-hassan.html
0 Response to "Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan kuzindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia"
Post a Comment