Loading...

MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA

Loading...
MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA
link : MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA

soma pia


MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA

 Meneja huduma za Ziada na Tehama wa Vodacom Tanzania PLC,Mathew Kampambe(kushoto) na Msimamizi mwandamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Chiku Saleh(katikati)wakionyeshwa na  Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Matina Nkurlu,namba ya simu ya mshindi  aliejishindia Tsh. Laki 15/- Godwin Kasembe Mkazi wa kinondoni jijini Dar es Salaam wakati wa kuchezesha droo ya 17  ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo ili Mteja wa Vodacom aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno  “CHECK” au “VODA” kwenda namba15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia)akiongea kwenye simu na mmoja wa washindi wakati wa kuchezesha droo ya 17  ya Tusua Mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo ili Mteja wa Vodacom aweze kushiriki kwenye promosheni hii anatakiwa kutuma neno  “CHECK” au“VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu,kushoto ni Meneja huduma za Ziada na Tehama wa kampuni hiyo, Mathew Kampambe na Msimamizi mwandamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Chiku Saleh.


Hivyo makala MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA

yaani makala yote MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/mkazi-wa-dar-es-salaam-atusua-milioni.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKAZI WA DAR ES SALAAM ATUSUA MILIONI 15 ZA VODACOM TANZANIA"

Post a Comment

Loading...