Loading...

MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI

Loading...
MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI
link : MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI

soma pia


MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI

 Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa (alietangulia) akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wakitembelea mradi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha,Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.


Serikali imesema mradi wa ujenzi wa jengo la abiria la tatu  umekamilika kwa asilimia 66 na kwamba mradi huo utakamilika Septemba, mwakani kama ilivyopangwa kwa kuwa kwa saasa hakuna kikwazo chochote.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi), Elias Kwandikwa wakati alipotembelea mradi huo leo, jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa serkali imeshamlipa mkandarasi fedha anazodai na kwa sasa hawana deni.


"Awamu hii ya pili tunajenga uwanja huu kwa fedha zetu za ndani, hii ni ishara tunaelekea kuzuri kwamana itafika mahali tutakuwa na miradii kama hii kwa fedha zetu wenyewe," amesema Kwandikwa.
Msimamizi wa Mradi huo  Mhandisi,Barton Komba(kulia) akimfafanulia jambo Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa wakiwa kwenye eneo la mradi huo leo jijini Dar es Salaam.




Hivyo makala MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI

yaani makala yote MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/mradi-wa-ujenzi-wa-jengo-la-abiria-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MRADI WA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA LA TATU UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 66-SERIKALI"

Post a Comment

Loading...