RAIS MUGABE AJIUZULU. - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS MUGABE AJIUZULU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
RAIS MUGABE AJIUZULU.link :
RAIS MUGABE AJIUZULU.
RAIS MUGABE AJIUZULU.
 |
Robert Mugabe |
Dakika chache zilizopita, spika wa Bunge la Zimbabwe ametangaza kuwa rais Robert Mugabe amejiuzulu .
Spika wa bunge Jacob Mudenda alisema kuwa hatua hiyo ni ya kujitolea na amefanya hivyo ili kuweza kuwepo kwa mabadiliko mazuri ya mamlaka kulingana na chombo cha habri cha reuters.
Tangazo hilo la ghafla lilizuia harakati za bunge kutaka kumng'oa madarakani ambazo zilikuwa zimeanza dhidi yake.
Wabunge walifurahia kufuatia hatua hiyo na raia wameanza kusherehekea barabarani.
Awali bwana Mugabe alikuwa amekataa kujiuzulu licha ya jeshi kuchukua mamlaka huku hatua hiyo ikifuatiwa na maadamano ya raia waliotaka kiongozi huyo kung'atuka mamlakani wiki hii.Chanzo BBC.
Hivyo makala RAIS MUGABE AJIUZULU.
yaani makala yote RAIS MUGABE AJIUZULU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala RAIS MUGABE AJIUZULU. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/rais-mugabe-ajiuzulu.html
Related Posts :
BARABARA YA LAMI YA KIA-MIRERANI KUWA KWENYE MATAZAMIO KWA MWAKA MMOJABarabara ya lami ya Kia-Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, ambayo imeshakabidhiwa kwa Serikali, inaendelea kuwa kwenye kipindi cha … Read More...
Matukio : Mmiliki wa Malunde1 Blog akamatwa na Polisi akipiga picha wananchi waliofunga barabara Shinyanga
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga,Kadama Malunde anayeandikia gazeti la Mtanzania na Mmiliki wa Mtandao wa Malun… Read More...
Call for participants to tzNOG5 Training in Dodoma (3rd - 8th September 2017)
tzNOG is a multi-stakeholder project that aims at providing affordable capacity building platform to ICT Professionals in Tanzania. Its or… Read More...
Nishati : Waziri Jenista , Naibu Waziri Dk. Kalemani wazindua Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini REA III, Mkoani Ruvuma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe.Jenista Mhagama, akikabidhi kifaa kijul… Read More...
HABARI MPASUKO, MAHAKAMA KUPIGA MNADA JENGO LA YANGA, SABABU NI DENI LA SH MILIONI 300
Mwambawahabari
Mahakama imetoa amri ya jengo la YAnga makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Kaunda na Jangwani kunadiwa.
Hii inatokana na … Read More...
0 Response to "RAIS MUGABE AJIUZULU."
Post a Comment