TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURUlink :
TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU
TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU
MSHAMBULIAJI wa Taswa Fc, Said Seif (kushoto) akiruka kumkwepa beki wa Polisi Fc, Andew Thomas, wakati wa mchezo wa kirafiki katika Maadhimisho ya 10 ya Mtandao wa Polisi yaliyoanza jana Nov 4 katika Uwanja wa Uhuru Dar esSalaam, yakitarajia kumalizika Nov 9 mwaka huu. Katika mchezo huo Taswa Fc ilishinda mabao 5-0. Picha na Muhidin Sufiani.
DCP Mary Nzuki wa Jeshi la Polisi, akimkabidhi Ngao ya ushindi Nahodha wa Taswa Fc, Willbert Moland, baada ya Taswa kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Polisi katika mchezo wa kirafiki wa Maadhimisho ya 10 ya Mtandao wa Polisi yaliyoanza jana Nov 4 katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, yakitarajia kumalizika Nov 9 mwaka huu. Picha na Muhidin Sufiani.
Hivyo makala TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU
yaani makala yote TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/taswa-fc-yaiadhibu-polisi-fc-mabao-5-0.html
Related Posts :
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA KUZALISHA SUKARI NCHINI CUBAMwambawahabari
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirika la Viwanda vya Sukari nchini Cuba, Bw. Franci… Read More...
UKAID NA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAZINDUA PROGRAM YA MAFUNZO KWA WATUMISHI
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), na viongozi waandamizi wa UKAID-DFID, British Council-Tanzania, Waziri wa El… Read More...
MAKONDA: ASKARI POLISI WASIO WADILIFU WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA .Mwambawahabari
Makonda akiendesha moja ya pikipiki hizo.
Maria Kaira, Mwambahabari
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewata… Read More...
Kongamano la Nne la Diaspora Lilipohamia Katika Meli ya Mv Mapinduzi II.
… Read More...
Manji akutwa na kesi ya kujibu juu ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya.Mwambawahabari
Na Karama Kenyunko
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imesema kuwa, mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji, anakesi ya … Read More...
0 Response to "TASWA FC YAIADHIBU POLISI FC MABAO 5-0 UWANJA WA UHURU"
Post a Comment