Loading...

Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha

Loading...
Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha
link : Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha

soma pia


Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha


Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile aliyevaa shati la drafti akikagua na kutoa maelekezo juu ya upatikanaji wa dawa katika baadhi ya vituo vya afya katika Wilaya ya Meru wakati wa ziara yake mkoani Arusha.

Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile aliyevaa shati la drafti akiwajulia hali baadhi ya wagonjwa katika vituo vya afya katika Wilaya ya Meru wakati wa ziara yake mkoani Arusha.

Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wa pili kulia akisikiliza maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Meru Dkt. Cosmas Kilasara wa kwanza kulia kwenye moja ya jengo la Hospitali ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha.PICHA NA ALLY DAUD-WIZARA YA AFYA MERU ARUSHA






Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Tengeru TICD wakitoa chngamoto na maswali kwa Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile hayupo pichani wakati alipotembelea chuo hiko katika ziara yake mkoani Arusha.

Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile katikati akipata maelezo kutoka kwa mmoja ya mtumishi wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii cha Tengeru (TICD) wakati alipotembelea chuo hiko katika ziara yake mkoani arusha.

Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile katikati akionyeshwa mpaka wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Tengeru TICD wakati alipotembelea chuo hiko katika ziara yake mkoani Arusha

Baadhi ya Watumishi wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Tengeru TICD wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile hayupo pichani wakati alipotembelea chuo hiko katika ziara yake mkoani Arusha.


Hivyo makala Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha

yaani makala yote Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/afya-naibu-waziri-dk-ndugulile-afanya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Afya : Naibu Waziri, Dk. Ndugulile afanya ziara Mkoani Arusha"

Post a Comment

Loading...