Loading...
title : MSHAURI WA ELIMU BEATRICE :WALIMU WENYE UWEZO WANATAKIWA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI
link : MSHAURI WA ELIMU BEATRICE :WALIMU WENYE UWEZO WANATAKIWA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI
MSHAURI WA ELIMU BEATRICE :WALIMU WENYE UWEZO WANATAKIWA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI
Na Said Mwishehe
MSHAURI wa elimu nchini kutoka Shirika la Maendeleo la Canada, Beatrice Omari amesema walimu wenye uwezo mkubwa kufundisha na walio na hekima, busara na uvumilivu ndio wenye kustahili kufindisha wanafunzi wa elimu ya awali,darasa la kwanza na pili.
Akizungumza Dar es Saalam leo baada ya kutolewa matokeo ya utafiti wa Kiufunza awamu ya pili wa motisha kwa walimu uliofanyika katika kipindi cha mwaka 2015/2016 katika shule120 nchini.
Amesema kwa maoni yake na uzoefu alionao kwenye elimu ,ni vema walimu wenye uwezo mkubwa wa kufundisha ndio wawe wanafundishi wanafunzi wa elimu ya awali,darasa la kwanza,pili na tatu kwani ndio ujenzi wa msingi bora wa elimu.
Ametoa majibu hayo baada ya kuulizwa kwanini miaka ya zamani waliokuwa wanafundisha darasa la kwanza na pili walikuwa wenye umri mkubwa ambapo alisisitiza ilitokana na uzoefu wao wa kufundisha na kuwavumikia wanafunzi ambao ndio wameanza kujengwa kielimu.
"Elimu ya awali, darasa la kwanza na pili inahitaji walimu wenye uwezo mkubwa wa kufundisha maana ndipo ambapo mwanafunzi anaandaliwa kielimu,ndio eneo ambalo mwaamnafunzi anafundishwa kuandika maumbo ya herufi.
" Wanapoandaliwa na walimu wazuri mwanzoni,walimu wa madarasa ya mbele jukumu lao inakuwa ni kuwajaza maarifa ya kielimu.Wasipoandaliwa vema matokeo take ndio wanapatikana wanafunzi wanaohitimu darasa la saba lakini hawajui kusoma na kuandika,"amesema.
Kuhusu motisha amesema Serikali inafanya jitihada kubwa kuboresha maslahi ya walimu nchini lakini no vema kukawa na mfumo rasmi ambao utasaidia kujenga mazingira bora ya walimu.
Pia badala ya motishi,jamii inatakiwa kutambua thamani ya mwalimu ambaye ndio anayepika wataalamu wa fani mbalimbali. Amesema zamani nyumba nzuri kijijini ilikuwa ni ya mwalimu na walikuwa kimbilio la wananchi kwani walitambua thamani yao lakini sasa jamii imeshindwa kutambua umuhimu wa mwalimu.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
MSHAURI wa elimu nchini kutoka Shirika la Maendeleo la Canada, Beatrice Omari amesema walimu wenye uwezo mkubwa kufundisha na walio na hekima, busara na uvumilivu ndio wenye kustahili kufindisha wanafunzi wa elimu ya awali,darasa la kwanza na pili.
Akizungumza Dar es Saalam leo baada ya kutolewa matokeo ya utafiti wa Kiufunza awamu ya pili wa motisha kwa walimu uliofanyika katika kipindi cha mwaka 2015/2016 katika shule120 nchini.
Amesema kwa maoni yake na uzoefu alionao kwenye elimu ,ni vema walimu wenye uwezo mkubwa wa kufundisha ndio wawe wanafundishi wanafunzi wa elimu ya awali,darasa la kwanza,pili na tatu kwani ndio ujenzi wa msingi bora wa elimu.
Ametoa majibu hayo baada ya kuulizwa kwanini miaka ya zamani waliokuwa wanafundisha darasa la kwanza na pili walikuwa wenye umri mkubwa ambapo alisisitiza ilitokana na uzoefu wao wa kufundisha na kuwavumikia wanafunzi ambao ndio wameanza kujengwa kielimu.
"Elimu ya awali, darasa la kwanza na pili inahitaji walimu wenye uwezo mkubwa wa kufundisha maana ndipo ambapo mwanafunzi anaandaliwa kielimu,ndio eneo ambalo mwaamnafunzi anafundishwa kuandika maumbo ya herufi.
" Wanapoandaliwa na walimu wazuri mwanzoni,walimu wa madarasa ya mbele jukumu lao inakuwa ni kuwajaza maarifa ya kielimu.Wasipoandaliwa vema matokeo take ndio wanapatikana wanafunzi wanaohitimu darasa la saba lakini hawajui kusoma na kuandika,"amesema.
Kuhusu motisha amesema Serikali inafanya jitihada kubwa kuboresha maslahi ya walimu nchini lakini no vema kukawa na mfumo rasmi ambao utasaidia kujenga mazingira bora ya walimu.
Pia badala ya motishi,jamii inatakiwa kutambua thamani ya mwalimu ambaye ndio anayepika wataalamu wa fani mbalimbali. Amesema zamani nyumba nzuri kijijini ilikuwa ni ya mwalimu na walikuwa kimbilio la wananchi kwani walitambua thamani yao lakini sasa jamii imeshindwa kutambua umuhimu wa mwalimu.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Hivyo makala MSHAURI WA ELIMU BEATRICE :WALIMU WENYE UWEZO WANATAKIWA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI
yaani makala yote MSHAURI WA ELIMU BEATRICE :WALIMU WENYE UWEZO WANATAKIWA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MSHAURI WA ELIMU BEATRICE :WALIMU WENYE UWEZO WANATAKIWA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/mshauri-wa-elimu-beatrice-walimu-wenye.html
0 Response to "MSHAURI WA ELIMU BEATRICE :WALIMU WENYE UWEZO WANATAKIWA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI"
Post a Comment