Loading...

MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI

Loading...
MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI
link : MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI

soma pia


MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI

JESHI la Polisi nchini limesema yoyote mwenye taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mwandishi wa habari wa kujitegemea wa Kampuni ya Mwananchi Communication(MCL)mkoani Pwani Azory Gwanda ambaye kwa sasa hajajulikana alipo azipeleke kwenye jeshi hilo ili zifanyiwe kazi.

Kauli hiyo imetolewa Dar es Salaam leo na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI)Robert Boaz ambapo amesema wanaendelea na upelelezi kutokana na taarifa walizonazo lakini bado wanaendelea kupokea taarifa,hivyo kwa mtu ambaye atakuwa nazo ni vema akawapelekea.

Amesema hayo wakati anajibu swali la waandishi wa habari waliotaka kujua Polisi wamefikia wapi katika kumtafuta mwandishi huyo.

“Jeshi la Polisi tunaendelea kufanya upepelezi kupitia taarifa tulizonazo ambazo hatuwezi kuzisema, lakini tutoe rai kwa mwenye taarifa zaidi zitakazaotusaidia kwenye upepelezi wetu atuletee.

“Ni mapema mno kusema Gwanda ametekwa au amejiteka, kikubwa tuacheni polisi tuendelee na kazi yetu ya kufuatilia,”amesema.

Ameongeza kuwa jamii isubiri upepelezi utakapikamilika utatoa majibu sahihi na kuan mifano ya matukio ambayo yametokea huko nyuma ambapo jamii iliamini mtu fulani ametekwa kumbe amejiteka mwenyewe. Hivyo waachwe wafuatilie na ukweli utajulikana.


Hivyo makala MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI

yaani makala yote MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/mwenye-taarifa-kupotea-kwa-mwandishi-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MWENYE TAARIFA KUPOTEA KWA MWANDISHI WA MWANANCHI ATULETEE-POLISI"

Post a Comment

Loading...