Loading...

SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU

Loading...
SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU
link : SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU

soma pia


SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU

Mwambawahabari
SING1
Mshambuliaji wa Singida Utd, Nhivi Simbarashe (kushoto) akichuana kuwania mpira na mchezaji wa AFC Leopards, Joshua Mawira, wakati wa mchezo wa fungua dimba mashindano ya SportPesa Super Cup, yaliyoanza leo kwenye Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam. Picha na Muhidin Sufiani
SING2
Mshambuliaji wa Singida Utd, Nhivi Simbarashe (wa pili kulia) akichuana kuwania mpira na mchezaji wa AFC Leopards, Joshua Mawira, (kulia) wakati wa mchezo wa fungua dimba mashindano ya SportPesa Super Cup, yaliyoanza leo kwenye Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam. Wa pili (kushoto) ni  Marcus Abwao. Picha na Muhidin Sufiani
SING3
Mshambuliaji wa Singida Utd, Nhivi Simbarashe (wa pili kulia) akichuana kuwania mpira na mchezaji wa AFC Leopards, Joshua Mawira, (kulia) wakati wa mchezo wa fungua dimba mashindano ya SportPesa Super Cup, yaliyoanza leo kwenye Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam. Wa pili (kushoto) ni  Marcus Abwao. Picha na Muhidin Sufiani
SING4
Wachezaji wa AFC Leopards, wapigwa na butwaa baada ya kufungwa bao katika dakika ya 10 kipindi cha kwanza.

SING5
Mchezaji wa Singida United, Mtasa Wisdom, akiruka kuokoa katikati ya wachezaji wa AFC Leopards.
SING6
Hatari langoni mwa AFC Leopards
SING7
Baadhi ya mashabiki na wachezaji wa timu ya Yanga wakiangalia mchezo huo.


Hivyo makala SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU

yaani makala yote SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/06/singida-utd-yachuana-vikali-na-afc.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SINGIDA UTD YACHUANA VIKALI NA AFC LEOPARDS KWENYE UWANJA WA UHURU MCHANA HUU"

Post a Comment

Loading...