Loading...

ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO

Loading...
ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO
link : ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO

soma pia


ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO

Mkurugenzi wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake Edina Sanga (wa pili kushoto) akiwa na Afisa Polisi Kutoka dawati la Jinsia Christina Onyango na wadau mbalimbali wa masuala ya ukatili wa kijinsia.
 
Katika kusaidia kupinga ukatili wa kijinsia, kituo cha usuluhishi( Crisis Resolving Centre- CRC) kimejizatiti katika kutetea haki za binadamu kwa kulinda haki na ustawi wa watoto na wanawake.

Kituo hicho kilichoanzishwa 2007 kikiwa na mlengo wa utoaji huduma ya msaada wa kisheria  na ushauri nasaha kwa jamii.

Akizungumzia kazi zinazofanywa na CRC, Mratibu wa Kituo cha Usuluhishi CRC Gladness Munuo amesema kuwa mnano Novemba 14 hafi 16 kimeweza kutoa ya huduma ya pamoja  kwa wahanga wa wa ukatili wa kijinsia  ijulikanayo kama One Stop Centre ikiwa inawalenga wakina mama na watoto ambao ndio waathirika wakubwa wa ukatili wa kijinsia.
Gladness amesema katika huduma ya pamoja na One Stop Centre  waliweza kutoa huduma kwa wateja 25 waliotembelea  kituo kwa kuhitaji msaada wakisheria na ushauri nasaha  ambapo wanawake walikuwa 22, wanaume 2 na mtoto mmoja.

Katika kesi hizo kesi mbili ziliweza kuhamishwa kutoka kituoni ambazo ni mgogoro wa ardhi na nyingine ilihusu kesi ya mauaji ambapo iliwezw kuhamishiwa polisi.

Ameelezea kuwa, katika usulihishi wa kifamilia uliweza kufanyika kwa wateja wanne na mashauri mawili ndio yaliyofanikiwa na nyingine ilikuwa ni matunzo ya mtoto.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO

yaani makala yote ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/one-stop-centre-yawataka-wadau.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO"

Post a Comment

Loading...