Loading...

SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU

Loading...
SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU
link : SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU

soma pia


SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU

 WILAYA YA MUHEZA, TANGA, TANZANIA – Katika sherehe zilizofanyika katika kijiji kimoja huko mkoani Tanga, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) yaligawa tableti zilizowekewa mfumo wa elimu kwa watoto. Tableti hizo ziligawiwa kama sehemu ya mradi wa majaribio wa miezi 15 chini ya Global Learning XPRIZE, ambao ni mradi wa miaka mitano uliotokana na mashindano duniani yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 15.

Mradi huu wa dunia unatoa changamoto kwa timu za wabunifu kubuni na kuandaa zana- wazi za kiteknolojia ili kuwawezesha watoto walio na fursa ndogo ya kupata elimu katika umri wa miaka tisa hadi kumi na mmoja, kujifunza wenyewe stadi za msingi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK).

Kama sehemu ya majaribio, zaidi ya watoto 2,400 kutoka katika vijiji 167 katika wilaya za Handeni, Korogwe, Lushoto, Mkinga, Muheza, na Pangani watapewa tableti mpya ya aina ya Google Pixel C, zilizotolewa kwa hisani ya Google. Tableti hizo zimewekewa mifumo ya elimu kutoka kwa washindi watano wa mwisho wa Global Learning XPRIZE. Washindi hawa walichaguliwa kutoka katika timu 198 na paneli ya majaji 11 wa kujitegemea na walio wataalamu na kutangazwa mwezi September, 2017 wakati wa wiki ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

“Teknolojia hii inayowawezesha watoto kujifunza kusoma, kuandika na kuhesabu pasipo msaada wa mwalimu, ni ubunifu wa kiwango cha juu kabisa,” alisema Mayasa Hashim ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Tanga. “Msaada huu utaleta matokeo mazuri katika kuwakomboa watoto walio nje ya mfumo rasmi wa elimu ili kwamba na wao wajifunze stadi hizi.”

Tableti hizo ziligawiwa na WFP kwa sababu shirika hili linasimamia uendeshaji wa kitengo cha lojistiki na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) cha majaribio katika mazingira halisi. Jukumu lake ni pamoja na kuingiza zana hiyo ya kiteknolojia katika tableti, kuanzisha vituo vya kuwekea umeme unaotokana na jua kwenye tableti hizo vijijini na kusimamia matengenezo, marekebisho na kutoa tableti mpya katika kipindi chote cha majaribio ya ugani.

SOMA ZAIDI HAPA


Hivyo makala SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU

yaani makala yote SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/serikali-na-umoja-wa-mataifa-zaungana.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI KUWAPATIA WATOTO 2,400 ZANA YA KITEKNOLOJIA YA ELIMU"

Post a Comment

Loading...