Loading...

Ajali Mbaya ya Gari leo

Loading...
Ajali Mbaya ya Gari leo - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ajali Mbaya ya Gari leo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ajali Mbaya ya Gari leo
link : Ajali Mbaya ya Gari leo

soma pia


Ajali Mbaya ya Gari leo

 Gari aina ya Convoy ya njia ya Makunduchi  ilyogongana na gari aina Dyna ya Jambiani ikiondolewa eneo la ajali iliyotokea mchana wa leo Kikungwi Wilaya ya Kati
 Gari za abiria za Dyna ya Jambiani na Conoy ya Makunduchi zilipogongana uso kwa uso huko Kikungwi inasemekana Gari ya Convoy ilipasuka mpira wa mbele ikiwa katika mwendo wa kasi na kuielekea na kuigonga gari ya Dyna iliyokuwa ikitokea upande mwengine wa njia 

 Baadhi ya majeruhi wakisubiri kupatiwa huduma baada ya kutokea ajali mbaya ya Gari hapo Kikubgwi mchana wa leo
Askari wa Usalama Barabarani akiwa kwenye tukio la ajali kuongoza magarai na kuhakikisha usalama wa watu na magari baada ya kutokea ajali mbaya ya gari huko Kikungwi leo mchana


Hivyo makala Ajali Mbaya ya Gari leo

yaani makala yote Ajali Mbaya ya Gari leo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ajali Mbaya ya Gari leo mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/ajali-mbaya-ya-gari-leo.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Ajali Mbaya ya Gari leo"

Post a Comment

Loading...