Loading...

Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein

Loading...
Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein
link : Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein

soma pia


Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein

 Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Maji ,Nishati na Mazingira wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ali Khalil Mirza, akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali Kisiwani Pemba, juu ya kukamilika mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo ambao unatarajiwa kufunguliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Ali Mohammed Shein, katika shamra  shamra za miaka 54 ya Mapinduzi .

Baadhi ya Waandishi wa habari Kisiwani Pemba, wakiwa katika mkutano na Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi,maji , Nishati na Mazingira wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ali Khalil Mirza, juu ya kukamilika kwa mradi wa umeme katika Kisiwa cha Fundo ambao unatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dkt, Ali Mohammed Shein, katika shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar.

PICHA NA BAKAR MUSSA-PEMBA.




Hivyo makala Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein

yaani makala yote Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/mradi-wa-umeme-katika-kisiwa-cha-fundo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mradi wa Umeme katika Kisiwa cha Fundo kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein"

Post a Comment

Loading...