Loading...

OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI.

Loading...
OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI.
link : OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI.

soma pia


OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI.


Mwambawahabari
Wafanyabiashara wa  Magari jijini Dar es salaam wameomba kuongezewa Muda wa Miezi Tisa ili waweze kuhamisha vitu vyao na wanafurahishwa na hatua ya serikali kuhamishishia Showroom zote kwenye eneo moja Kigamboni na wako tayari kuhama kwakuwa wataongezea ufanisi na idadi ya wateja na mwisho wa siku kuleta ushindani mzuri wa kibiashara kwakuwa serikali ina malengo mema.

Ombi hilo limepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ambapo amewaongezea muda wa miezi tisa na kusema baada ya hapo asiwepo Mtu wa kuomba kuongezwa kwa muda mwingine.





 Baadhi ya Wafanyabiashara wa Showroom za Magari Dar es salaam,waliofika kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. 

Makonda ametoa uamuzi huo wakati wa mkutano na wamiliki wa Showroom ambapo amesema ifikapo October mosi showroom zote ziwe zimehamiha Kigamboni. 

Amesema tayari serikali inaendelea na ujenzi wa miundombinu  yote muhimu ikiwemo Barabara, Maji, Umeme, Kituo cha Polisi, Madaraja* ili wafanyabiashara wafanye biashara kwenye mazingira bora.


Amesema faida za uwepo wa showroom kwenye eneo moja ni kupunguza usumbufu kwa wananchi, Mipango miji, ulipaji kodi, kudhibiti wizi wa magari pamoja kuifanya Dar es salaam kuwa soko kubwa la magari Africa.


Makonda amesema ndani ya eneo hilo zitapatikana ofisi zote zinazohusiana na biashara za magari ikiwemo TRA, TPA, Bank, Garage, Sheli, Vituo vya polisi, Fire (ones stop center.) 


Wafanyabiashara hao wamepatiwa ofa ya kufanya biashara Miaka mitatu kwenye eneo hilo pasipokulipa pamoja na fursa ya kuunganishwa na  wauzaji wakubwa wa magari kutoka Dubai kwaajili ya kufanya ubia.


Hivyo makala OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI.

yaani makala yote OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/ombila-wafanya-biashara-wa-magari.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "OMBILA WAFANYA BIASHARA WA MAGARI LAKUBALIWA ,MAKONDA ASEMA SERIKALI ITABORESHA HUDUMA MUHIMU KABLA YA WAKATI."

Post a Comment

Loading...