Loading...

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR

Loading...
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR
link : RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR

soma pia


RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akikunjuwa kitambaa kuashiria Uzinduzi wa Jengo jipya la Mtakwimu Mkuu wa Serikali  ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0133
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akifukia mche wa Mnazi baada ya kuupanda katika Uzinduzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

DSC_0235
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akisisitiza jambo alipotoa hotuba ya Uzinduzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi B Unguja  .Ikiwa ni Shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar. kulia yake ni Makamo wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif Ali Idi
DSC_0156
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika Uzinduzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0177
Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bi,Mayasa Mahfoudh Mwinyi akisoma Risala  katika Uzinduzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0186
Mkurugenzi Mkaazi wa Benki ya Dunia  Ms,Bella Bird akitoa maelezo mafupi katika Uzinduzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_0213
Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt,Khalid Salum Mohammed akitoa maelezo kuhusiana na utekelezaji wa maazimio yaliotolewa wakati wasemina ya watendaji wakuu kuhusu umuhimu wa Takwimu  katika Uzinduzi wa Jengo jipya la Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar. .PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Hivyo makala RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR

yaani makala yote RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/rais-wa-zanzibar-dk-shein-afunguzi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI MAZIZINI ZANZIBAR"

Post a Comment

Loading...