Loading...

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA

Loading...
WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA
link : WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA

soma pia


WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA

Na Ramadhani Ali – Maelezo  .

WIZARA  ya Afya Zanzibar imetiliana saini makubaliano ya ushirikiano na Bohari ya Dawa Tanzania (msd) katika masuala ya uagiziaji dawa na vifaa Tiba kutoka viwandani moja kwa moja na hatua hiyo itaiwezesha Zanzibar kupunguza gharama kubwa ya kuagiza dawa kutoka katika makampuni.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bi. Asha Abdalla Juma alitia saini kwa upande wa Wizara hiyo na Mkurugenzi  Mkuu Laurean Rugambwa Bwanakunu aliiwakilishi Bohari kuu ya Dawa Tanzania katika sherehe zilizofanyika Wizara ya Afya Zanzibari Mnazimmoja.

Akizungumza baada ya kutiliana sani Bi. Asha Abdalla alisema ushirikiano huo utaisaidi Serikali na wananchi kwa jumla kuwa na uhakika wa upatikanaji dawa na kupunguza mzigo wa kutumia gharama kubwa kuagiza dawa.Alisema hatua hiyo ni utekelezaji wa maagizo ya Serikali kuhakikisha  dawa zote zinapatikana  bila usumbufu katika Hospitali na vituo vya afya na kufanikisha  malengo yake ya kuwapatia wananchi  huduma bora za afya.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya ameshauri mashirikiano yaliyoanzishwa baina ya Bohari  Kuu ya Dawa Zanzibar na Bohari Kuu ya Tanzania yawe endelevu na kuwa mfano kwa Taasisi nyengine za pande mbili za Muungano na ukanda mzima wa Afrika Mashariki.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Asha Abdalla Juma na Mkurugenzi Mkuu wa  Bohari ya Dawa Tanzania Laurean Lugambwa Bwanakunu wakitia saina makubaliano ya ushirikiano kati ya Wizara ya Afya  Zanzibar na Bohari Kuu ya Dawa Tanzania katika sherehe zilizofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja Mjini Zanzibar.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bi Asha Abdalla Juma na Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa Tanzania Laurean Lugambwa Bwanakunu wakibadilisha hati za makubaliano baada ya kutiliana saini makubaliano hy katika sherehe zilizofanyika Wizara ya Afya Mjini Zanzibar.
 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa Tanzania Laurean Lugambwa Bwanakunu akizungumza  baada ya kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Afya Zanzibar.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Asha Abdalla Juma akitoa shukrani zake kwa Uongozi wa Bohari ya Dawa Tanzania  baada ya kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano kati yao. Picha na Abdalla Omara Maelezo - Zanzibar



Hivyo makala WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA

yaani makala yote WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/wizara-ya-afya-zanzibar-yatiliana-saini.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO NA BOHARI YA DAWA TANZANIA"

Post a Comment

Loading...