Loading...

Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar.

Loading...
Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar.
link : Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar.

soma pia


Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar.

Mwakilishi wa Jimbo la Wawi Hamad Abdalla Rashid akitoa mchango wake katika Baraza la Wawakilishi linaloendelea chukwani Mjini Unguja.
Naibu Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Mazingira Juma Makungu Juma akijibu maswali yalioulizwa  ndani ya Baraza la Wawakilishi linaloendele  chukwani Mjini Unguja
Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) akifafanua baadhi ya maswali yalioulizwa  ndani ya Baraza la Wawakilishi linaloendele  chukwani Mjini Unguja.


Mwakilishi wa Jimbo la Donge na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt,Khalid Salum Mohammed kulia akiwa pamoja na Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Nassor Salim Ali katikati na Mwakilishi wa Jimbo la Mkwajuni Ussi Yahya Haji wakibadilishana mawazo nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi linaloendele  chukwani Mjini Unguja.

Picha na Yussuf Simai - Maelezo Zanzibar.


Hivyo makala Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar.

yaani makala yote Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/kutoka-baraza-la-wawakilishi-leo_15.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kutoka Baraza la Wawakilishi leo Zanzibar."

Post a Comment

Loading...