Loading...

MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA

Loading...
MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA
link : MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA

soma pia


MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA

 Mkurugenzi Mtendaji Bw. William Makufwe akisaidiana na mganga mkuu katikati na mkuu wa Mkoa kutoa hadubini tayari kwa kuikabidhi kwa viongozi wa Komkonga.
  Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Martine Shigela(kulia) akikabidhi hadubini kwa Mwenyekiti wa Kijiji cha Komkonga Bw.Omary Mngazija ikiwa ni moja ya kifaa kwaajili ya kuboresha huduma za Zahanati ya Komkonga.
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Martine Shigela akizungumza na watumishi na wananchi wa Komkonga juu ya utunzaji wa vifaa hivyo na kupongeza uongozi wa Halmashuri kwa ujenzi wa maabara ndogo.
 Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe aki shukuru Rais kwa fedha alizozitoa na kufikia hatua ya kupokea Vifaa hivyo kwenye Zahanati ya Komkonga.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA






Hivyo makala MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA

yaani makala yote MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/mapokezi-ya-vifaa-vya-matibabu-zahanati.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA"

Post a Comment

Loading...