Loading...

Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe.

Loading...
Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe.
link : Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe.

soma pia


Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe.

Na Agness Francis Globu ya jamii 

VINARA  wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sc  wanaendelea kujifua vikali kukabiliana na mchezo wao  kimataifa dhidi ya Gendarmerie Nationale FC  ya nchini Djibouti katika kuwania Kombe la Shirikisho  la CAF.

Mtanange huo utakaorindima Februari 11 katika Dimba la Uwanja wa Taifa Jijini  Dar es  salaam Majira ya Saa 10:00 jioni . 
Akizungumza na waandishi wa Habari leo Jijini Dar es salaam katika Makao Makuu ya Timu ya    SimbaSc' Mnyama'  Msemaji  Mkuu wa Timu ya  Simba, Hajji Manara  amesema kuwa katika mchezo huo atahudhuriwa na   Rais Mstaafu wa Awamu ya  Pili  Dk.  Ali Hassan Mwinyi akiwa kama Mgeni rasmi katika mchezo huo. 

"Timu yetu ipo vizuri na kikosi kipo kinaendelea na mazoezi na vijana wapo fiti kabisa ukizingatia wachezaji wetu tayari wawili Saidi Nduda pamoja na Salimu Mbonde wanaendelea vizuri na  wamesharejea kikosini kuendelea na  na Mazoezi"amesema Manara. 

Hata hivyo katika mtanange huo wataendelea kumkosa nyota wao  kutoka Rwanda  Haruna Niyonzima ambaye hivi karibuni ataelekea Nchini India kwa ajili ya matibabu . 

"Tutaendelea kumkosa Mchezaji wetu mahiri Haruna Niyonzima ambaye hivi karibuni ataelekea Nchini India kwa ajili ya matibabu ya maradhi yanayomsumbua, ila mpaka kufikia  mwezi ujao atarejea kikosini"amesema Manara. 
Aidha Manara amesema kuwa Timu ya Gendarmerie  Nationale FC watawasili Jumamosi saa 7:00 Usiku  ambapo  msafara wao utakuwa ni wa watu 18 na Viongozi  wakiwa ni 8.

Katika Mtanange huo Manara amewasaa  mashabiki kuhudhuria kwa wingi katika mchezo huo ambapo viingilio vitakuwa ni  Sh,30,000 kwa VIP A, Sh.20,000 kwa VIP B, Viti vya rangi ya Chungwa 'Orange'  Sh.10,000 na Sh.50,00 kwa vitu vya Mzunguko.


Hivyo makala Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe.

yaani makala yote Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/simba-sc-gendarmerie-nationale-nani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Simba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe."

Post a Comment

Loading...