Loading...

Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako

Loading...
Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako
link : Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako

soma pia


Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako

 Mmoja wa washindi  wa droo ya wiki ya promosheni ya ‘Jero yako tu’ ya kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Mwinjuma Mdoe (kushoto), akipokea zawadi ya simu ya kisasa aina ya Moto C 4G toka Zantel kutoka kwa Mtaalamu wa Data na Masoko wa Zantel, Hamid Mohamed jijini Dar es Salaam jana. Mteja wa Zantel  akiongeza muda wa maongezi kuanzia shs mia tano hujipatia nafasi kushiriki na kujishindia Zawadi za pikipiki, baiskeli, simu na pesa taslimu. Katikati ni Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Bi. Rukia Mtingwa. 
 Mmoja wa washindi  wa droo ya wiki ya promosheni ya ‘Jero yako tu’ ya kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Mohamed Salum (kushoto), akipokea zawadi ya simu ya kisasa aina ya Moto C 4G toka Zantel kutoka kwa Mtaalamu wa Data na Masoko wa Zantel, Hamid Mohamed jijini Dar es Salaam jana. Mteja wa Zantel  akiongeza muda wa maongezi kuanzia shs mia tano hujipatia nafasi kushiriki na kujishindia Zawadi za pikipiki, baiskeli, simu na pesa taslimu. Katikati ni Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Bi. Rukia Mtingwa.
Meneja Masoko wa Zantel Tanzania, Bi. Rukia Mtingwa, Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Abdallah Hemedy (kushoto) na Mtaalam wa Data na Masoko wa Zantel, Hamid Mohamed, wakichezesha droo ya wiki ya promosheni ya ‘Jero yako tu’ ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Mteja wa Zantel  akiongeza muda wa maongezi kuanzia shs mia tano hujipatia nafasi kushiriki na kujishindia Zawadi za pikipiki, baiskeli, simu na pesa taslimu.




Hivyo makala Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako

yaani makala yote Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/wateja-wa-zantel-waendelea-kuzoa-zawadi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wateja wa Zantel waendelea kuzoa zawadi promosheni ya Jero yako"

Post a Comment

Loading...