Loading...

AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho.

Loading...
AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho.
link : AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho.

soma pia


AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho.

Kikosi cha Azam FC

Na Agness Francis Globu ya jamii. 
KLABU Bingwa Afrika Mashariki na kati AzamFc  kuvaana na MbaoFC ya Jijini Mwanza   baada ya kumalizana na Mwadui FC  ambapo wanalambalamba hao walitoka kifua mbele kwa kuifunga timu hiyo bao 1-0 katika uwanja wa Azam Complex Chamazi. 

Timu hizo mbili zitapimana nguvu hapo kesho majira ya saa1 Usiku katika dimba la Uwanja Wa Azam Complex Chamazi. 

Ambapo kila timu zina presha ya kutaka kupata ushindi wa kuibuka na Alama 3 ili kuweza kuwa kwenye nafasi nzuri zaidi.

Akizungumza na waandishi Wa Habari  
Ofisa Habari AzamFc Jaffary Iddy  leo katika ofisi zao Mzizima Jijini Dar es salaam amesema kuwa kikosi tayari kipo kambini na kinaendelea na mazoezi. 

"Kikosi kipo  kambini kinaendelea na mazoezi yake  katika kuelekea kwenye mchezo huo wa aina yake Ambapo kila timu inaitaji ushidi, tunaieshimu Timu ya Mbao iko vizuri na Ina kikosi kizuri lakini na sisi Tumejipanga vema kubakiza Alama 3 Nyumbani"amesema msemaji huyo  Jaffary. 

Maganga amesema kuwa wataendelea kumkosa mchezaji wao Yakubu Mohammed  ambaye alipata majeraha pamoja na Kipa wao namba 1 Razack Abarola. 

"Wachezaji Wote wako fiti ila tutaendelea kumkosa mchezaji wetu Yakubu Mohammed aliyepata majeraha katika mchezo wa michuano ya kombe la shirikisho FA  Cup ambapo  tulicheza na timu ya  KMC pamoja na kipa wetu Razack Abarola anaemalizia  kutumikia adhabu ya kutoshiriki Mechi tatu" amesema Jaffary Maganga.


Hivyo makala AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho.

yaani makala yote AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/azamfc-kuvaana-na-mbao-fc-kesho.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "AzamFc kuvaana na Mbao FC kesho."

Post a Comment

Loading...