Loading...

KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA

Loading...
KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA
link : KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA

soma pia


KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA

Na Humphrey Shao, Globu ya jamii
Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Warace Karia amesema atasimamia suala la bima kwa wachezaji wanaoshhiriki katika ligi mbalimbali zinazo simamiwa na shiriki hilo hili kuweza kuwawezesha wachezaji kupata haki zao kwa haraka pindi wanapopata matatizo wakiwa michezo katika maisha yao ya Soka.
Karia amesema hayo leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mafunzo kwa viongozi wa vilabu mbalimbali nchini juu ya umuhimu wa bima yaliyoratibiwa na Tasisi ya ISDL kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Aliance life Insurance ya hapa nchini Tanzania.
"lazima niwaambie ukweli hili suala la Bima mimi kwa sasa nitalifatilia kw aukaribu sana kwa kuhakikisha kuwa kila mchezaji aliyesajiliwa katika kalbu ya ligi kuu na shirikisho anapatiwa Bima ya maisha hili kuweza kupunguza matatizo yanayoweza kujitokeza pindi mchezaji wanapopata matatizo wakiwa uwanjani aua mara baada ya kumaliza mpira wake"amesema Karia.
amesema kuwa kwa sasa lawama nyingi zinatumwa kwa shirikisho la sokoa kuwa aliwahudumii wachezaji wa zamani lakini msingi wa jambo lenyewe kuondokana na lawama hizo ni kuhakikisha kuwa wachezaji hawa kila mmoja anapata Bima ya Maisha yake hili aweze kijikwamua pindi anapopata matatizo.
Karia pia alitumia fursa hiyo kutoa Salamu za rambirambi kwa msiba wa mwanamichezo mkongwe aliyekuwa anakipiga na klabu ya Simba Arthur Mambeta amefariki dunia siku ya jana Jumatano baada ya kusumbuliwa na maradhi ya saratani kwa muda mrefu.
 Rais wa Shirikisho la Soka nchini(TFF),Warace Karia akizungumza wakati wa uzinduzi wa Semina kwa vilabu mbalimbali vinavyoshiriki Michuano ya Shirikisho nchini.
 Mwenyekiti wa ISDL , Dr T.M Katunzi akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Shirikisho la Soka nchini(TFF),Warace Karia  kuzindua Semina kwa ajili ya Vilabu mbalimbali hapa nchini.

Viongozi wa klabu mbalimbali nchini wakifatilia kwa makini hotuba ya Rais wa TFF katika Semina Maalum iliyoandaliwa na ISDL kwa kushirikiana na Aliance Life Insuarance.


Hivyo makala KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA

yaani makala yote KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/karia-asema-suala-la-bima-alikwepeki.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "KARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA"

Post a Comment

Loading...