Loading...

MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5

Loading...
MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5
link : MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5

soma pia


MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5

Na Zainab Nyamka,Globu ua Jamii

KATIBU Mkuu wa Klabu ya Yanga Charles Boniface Mkwasa ametangaza siku maalumu ambayo klabu itafanya mkutano mkuu wa wanachama wote,kujadili masuala mbalimbali muhimu ya maendeleo ambayo itakuwa Mei 5 mwaka huu.

Mkwasa amesema  kuwa wanachama wa Yanga wanapaswa kufanya maandalizi ya kuhudhuria mkutano huo sasa kwa kulipa ada zao mapema kwa sababu kwenye mkutano huo ukaguzi mkubwa utafanyika kabla ya watu kuingia ndani ya ukumbi.

Akizungumza leo ,Mkwasa amesema mkutano huo utafanyika Mei 5 mwaka huu jijini Dar es Salaam, hivyo wanachama wenye kadi aina zote mbili wataruhusiwa kuingia ukumbuni, kwa maana ya wale wote wenye kadi za zamani na kadi mpya zinazotolewa na benki ya Posta.

Akiendelea zaidi Mkwasa amesema  kupitia kikao cha kamati ya utendaji kilichofanyika Jumapili iliyopita, kamati   imeridhia kufanyika kwa Mkutano huo, na kuomba wanachama kujindaa kwa ajenda ambazo zitatangazwa baaadae.


Hivyo makala MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5

yaani makala yote MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/mkutano-mkuu-wa-yanga-sasa-rasmi-mei-5.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MKUTANO MKUU WA YANGA SASA RASMI MEI 5"

Post a Comment

Loading...