Loading...
title : SIMBA DHIDI YA STAND KESHO UWANJA WA TAIFA.
link : SIMBA DHIDI YA STAND KESHO UWANJA WA TAIFA.
SIMBA DHIDI YA STAND KESHO UWANJA WA TAIFA.
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara mzunguko wa 19 inaendelea kesho kwa mchezo mmoja utakaowakutanisha Simba ya Dar es Salaam dhidi ya Stand United ya Shinyanga
Mchezo huo utakaochezwa saa 10 jioni utafanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
Mwamuzi wa katikati Florentina Zabron kutokea Dodoma ,Mwamuzi msaidizi namba moja Ferdinand Chacha wa Mwanza,mwamuzi msaidizi namba mbili Mashaka Mandemwa kutoka Mwanza,mwamuzi wa akiba Gelmina Simon wa Dar es Salaam na kamishna wa mechi anatoka Arusha,Peter Temu
Hivyo makala SIMBA DHIDI YA STAND KESHO UWANJA WA TAIFA.
yaani makala yote SIMBA DHIDI YA STAND KESHO UWANJA WA TAIFA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA DHIDI YA STAND KESHO UWANJA WA TAIFA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/simba-dhidi-ya-stand-kesho-uwanja-wa.html
0 Response to "SIMBA DHIDI YA STAND KESHO UWANJA WA TAIFA."
Post a Comment