Loading...

WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO

Loading...
WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO
link : WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO

soma pia


WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO


Ngome ya vijana ya Chama cha ACT Wazalendo imewataka mawaziri wenye dhamana ya kusimamia viwanda, ajira na fedha kukaa pamoja kutafakari tatizo la ajira kwa vijana na kuweka mazingira bora ya ufanyaji wa biashara ndogondogo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Machi 10, 2018, Katibu wa Sera na Tafiti wa Ngome ya vijana wa chama hicho,  Kitentya Luth amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kushuhudia wimbi la waajiri sekta binafsi na Serikali kupunguza wafanyakazi.

"Hata sekta ya elimu na viwanda ambazo awali zilikuwa zinatoa ajira nyingi nazo hali ni mbaya. Walimu hawajapata ajira kwa zaidi ya miaka mitatu, jambo hilo linasababisha mkwamo katika elimu lakini pia vijana hao wanashindwa kujikwamua kimaisha," amesema Luth.


Hivyo makala WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO

yaani makala yote WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/walicho-kisema-act-wazalendo-leo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WALICHO KISEMA ACT WAZALENDO LEO"

Post a Comment

Loading...