Loading...

Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar

Loading...
Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar
link : Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar

soma pia


Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akifafanua jambo kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau leo jijini Dar es Salaam. 
  Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akizungumza na wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu akitoa taarifa ya hali ya soko la dawa nchini kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Prof Appolinary Kamuhabwa akisisitiza jambo kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao  leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Geofrey Mwambe akielezea vivutio vya uwekezaji katika viwanda vya dawa nchini kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini, leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini wakimsikiliza Mgeni rasmi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao leo jijini Dar es Salaam.


Hivyo makala Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar

yaani makala yote Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/04/mkutano-wa-wadau-wenye-nia-ya-kuwekeza.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar"

Post a Comment

Loading...