Loading...

POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI

Loading...
POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI
link : POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI

soma pia


POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI

Askari polisi E. 1156 William Marwa amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu mkazi wilaya ya Tarime, akikabiliwa na shtaka la mauaji ya Saguta Chacha ambaye ni mdogo wa Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche.

Mshtakiwa huyo amesomewa kesi ya mauaji namba, PI 76/2018 mbele ya Hakimu A.R. Kahimba leo Aprili 30.

Askari huyo anayedaiwa kutenda kosa hilo Aprili 27 hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo.


Hivyo makala POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI

yaani makala yote POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/04/polisi-anayedaiwa-kuua-mdogo-wake.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "POLISI ANAYEDAIWA KUUA MDOGO WAKE AFIKISHWA MAHAKAMANI"

Post a Comment

Loading...