Loading...

RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI

Loading...
RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI
link : RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI

soma pia


RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji , Mustafa Aboud Jumbe (Mwenye kipaza sauti) akitoa maelezo kwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) wakati wa ziara maalum  Rais alipotembelea Mpigaduri na Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo  kutembelea Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Eneo la ufukwe wa Mpigaduri,Maruhubi  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira, Salama Aboud Twalib wakati alipotembelea Eneo la Mpigaduri na Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea Ufukwe wa Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa maelekezo kwa watendaji  wakati alipotembelea Eneo la Mpigaduri na Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea Ufukwe wa Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Mhe,Siara Ubwa Mamboya (wa pili kulia) na  Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji , Mustafa Aboud Jumbe (Kushoto) alipofika Eneo la fukwe ya Bwawani  wakati wa ziara maalum ya  kutembelea eneo hilo sambamba  na kutembelea Mpigaduri na Maruhubi Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akimsikiliza   Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji,  Mustafa Aboud Jumbe (katikati) alipofika Eneo la fukwe ya Bwawani  wakati wa ziara maalum  alipotembelea  Eneo hilo linalotarajiwa kujengwa  Mji Mpya wa kisasa.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa maelekezo wa Wajumbe wa Baraza la Mapinduzi wakati walipofika eneo hilo.
(Picha na Ikulu)


Hivyo makala RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI

yaani makala yote RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/04/rais-dkshein-atembelea-mpigaduri-na.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI"

Post a Comment

Loading...