Loading...

USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI

Loading...
USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI
link : USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI

soma pia


USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI

 Assalaam Aleikum.

Salaam zangu za Mei Mosi

Kwanza sote tumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma anaendelea kutupa uhai na uzima hadi siku ya leo.
Hakika pumzi hii ndio inatufanya tufurahi na kuhuzunika pamoja,pia ndio inayotufanya tuweze kuandika na kusoma maandiko mbalimbali ikiwemo andishi hili dogo

Jana pale uwanja wa taifa palifanyika mechi kubwa kabisa ktk ukanda huu wa Afrika Mashariki. Simba na Yanga zote za hapa jijini Dar.

Sio vyema kurejea kuwapa matokeo ila Alhamdulillah klabu yangu ya Simba imefanikiwa kushinda na kujisogeza karibu kabisa na ubingwa wa ligi kuu nchini

Nimeandika kujisogeza kwa kuwa bado hatujatwaa ubingwa.kwa sasa tunahitaji points tano tu ili tuweze kutawazwa ubingwa huu unaosubiriwa kwa hama na washabiki wote kote nchini

Kiukweli hzi points tunazohitaji tutazisaka kwa tahadhari zote na kwa kutambua kiu ya wanasimba.. tutaingia kwenye michezo ilobaki kwa nguvu kubwa na kwa umakini wa hali ya juu,sambamba na kuwaheshimu wapinzani wetu

Ukiachana na hayo nna vitu vwili very special nataka kuvisema hapa

Kwanza ni shukran kwa washabiki wetu..ktk maisha yangu yote nilioishi sijapata kuona washabiki kama wa Simba..
Ni watu wasikivu mno na wenye subira na upendo wa hali ya juu,ni watu wanaopenda futboll halaf ndio timu yao,wana ustaarabu uliopitiliza na wenye mapenzi yasio na shaka kwa klabu yao,

Kwenye ustaarabu huwa natolea mfano wa kitendo cha kutoa back pass kwa mchezaji Hassan kesi wakati akiichezea Simba kwa Donald Ngoma wa Yanga na kutufunga goli la kizembe zaid ktk historia ya derby hii

Inawezeka kabisa ilikuwa ni bahati mbaya,ila kilichostaajibisha muda mchache ujao mchezaji huyo alihamia Yanga tena kwa maneno mabaya ya dharau na kebehi..naapa Wallah kitendo kile ingekuwa kwa wenzetu kessi angeuhama mji huu na kurudi Morogoro (tamka Mrogoro)

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA



Hivyo makala USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI

yaani makala yote USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/04/ushindi-dhidi-ya-yanga-manara.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI"

Post a Comment

Loading...