Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDTlink :
Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT
Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT
Na Profesa Mbele
Mimi kama mwandishi ninathamini maoni ya wasomaji juu ya maandishi yangu. Msomaji anapokuwa ametumia muda wake kusoma na kutafakari nilichoandika, halafu akatumia muda wake kuandika maoni, kwangu si jambo dogo. Ninashukuru. Katika blogu hii nina jadi ya kuwatambua wadau hao.
Hivi karibuni, nimeona andiko la Filipo Lubua (pichani chini) katika ukurasa wake wa facebook kuhusu kitabu changu Africans and Americans: Embracing Cultural Differences. Huyu anafundisha ki-Swahili katika Chuo Kikuu cha Pittsburgh hapa Marekani. Anasema kwamba anakitumia kitabu hiki katika kozi juu ya Afrika Mashariki, na anasema ni kitabu kinachovutia sana. Ananishukuru kwa kukiandika kitabu hiki rahisi kusomeka juu ya mitazamo yetu, yaani sisi wa-Afrika na wenzetu wa-Marekani. Anasema kuwa wanafunzi wake wamo katika program ya masomo ambayo watasoma Tanzania. Watakuwa Dar es Salaam na Iringa kwa wiki yapata tano.
Katika mawasiliano ya ziada, mwalimu Lubua amesisitiza kuwa hiki kitabu muhimu sana hasa katika kufundishia utamaduni wa Kiswahili. Kauli yake hiyo imenikumbusha maelezo ya Leonce Rushubirwa, m-Tanzania mwingine mwalimu wa ki-Swahili Marekani, kuhusu matumizi ya kitabu hiki katika kufundishia ki-Swahili. Kuongea na wataalam wa aina hiyo ni fursa ya kujithibitishia ile dhana kwamba lugha imefungamana na utamaduni.
|
Hivyo makala Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT
yaani makala yote Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/05/mtanzania-afundishaye-ki-swahili.html
Related Posts :
WAZIRI UMMY MWALIMU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA DAWA CHA M-PHARMACEUTICALS WILAYANI BAGAMOYO
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wapili kulia), akishirikiana na Waziri wa Viwanda, Biashar… Read More...
INAKUPONGEZA KWA KULA NONDOZ (MASTERS IN INTERNATIONAL BUSINESS COMMUNICATION NCHINI MALAYSIA
Catherine Cornel Nyoni (Mama Gerson Msigwa) ala Nondoz (Masters in International Business Communication, Asia Pacific University Kuala Lump… Read More...
BARAZA LA MITIHANI LATANGAZA KUANZA MITIHANI KIDATO CHA SITA,UALIMU
*Watakaofanya udanganyifu wa aina yoyote kukiona cha moto
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii
BARAZA la Mitihani la Tanzania(Necta) limetoa … Read More...
MAKAMU MWENYEKITI JUMUIYA YA WAZAZI CCM TAIFA AWAONGOZA WANANCHI KATIKA HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA MSINGI NYANDOTE WILAYANI RUFIJI
NA ELISA SHUNDA, MUHORO-RUFIJI
WANANCHI na Wadau mbalimbali waombwa kushikamana kwa pamoja na kuondoa tofauti ya itikadi za kivyama na ku… Read More...
WATU 200 WANAAMBUKIZWA VVU KWA SIKU/50 VIJANA -MABOKONa Mwamvua Mwinyi,Pwani.
ASILIMIA 48 ya wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) hawajapima kujua afya zao ambapo asilimia 52 pekee walio na vi… Read More...
0 Response to "Mtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May 2018 03:58 PM PDT"
Post a Comment