Loading...

Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba

Loading...
Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba
link : Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba

soma pia


Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba


Mkurugenzi wa taasisi ya Samael Academy, Sheikh Nassor bin Said -Alruweikhy , akizungumza na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mkoani Pemba, Miza Hassan Bakar, kuhusiana na maandalizi ya kutoa msaada ya chakula cha futari kwa Wananchi wa Wilaya hiyo.

PICHA NA BAKAR MUSSA-PEMBA.

Baadhi ya Masheha wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, wakichukuwa Sadaka ya Chakula kwa ajili ya futari ya wananchi wanaoishi katika mazingira magumu kilichotolewa na taasisi ya Samael Academy -Pemba.

PICHA KWA HISANI YA SAMAEL ACADEMY- PEMBA.



Mkuu wa Wilya ya Chake Chake Pemba, Alhajj Rashid Hadidi Rashid, akipokea msaada wa Sadaka ya futari kutoka kwa watendaji wa Taasisi ya Samael Academy Kisiwani Pemba, kwa ajili ya Wananchi wanoishi katika
mazingira magumu hasa katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.

PICHA NA SAMAEL ACADEMY PEMBA




Hivyo makala Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba

yaani makala yote Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/05/taasisi-ya-samael-yatoa-sadaka-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Taasisi ya Samael yatoa sadaka ya Futari kisiwani Pemba"

Post a Comment

Loading...