Loading...

BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA

Loading...
BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA
link : BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA

soma pia


BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA

Mnamo Juni 7, 2018 Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe. Muhidini Ally Mboweto, alikabidhi Hati za Utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja na kuhudhuriwa na mke wa Mhe. Balozi Hajat Ashura Ally Mboweto, Maafisa wa Ubalozi na viongozi mbalimbali wa serikali ya Nigeria.
C:\Users\Elias\Desktop\Mhe. Kukabidhi Hati\Amb Tan (4).JPG
Mhe. Balozi akipokea salamu za heshima kutoka kwa askari wa jeshi la Nigeria kabla ya kukabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja

C:\Users\Elias\Desktop\Mhe. Kukabidhi Hati\Amb Tan (5).JPG
                            Mhe. Balozi Mboweto akikagua gwaride kabla ya kukabidhi hati Hati za Utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja
C:\Users\Elias\Desktop\HC Tanzania\Amb Tan (27).JPG
Mhe. Balozi akielekea kwenye ukumbi wa Ikulu baada ya kukagua gwaride.Mhe. Rais Buhari akiwa na Waziri wa nchi (Mambo ya Nje) na Katibu wa Rais akimsubiri Mhe. Balozi.
C:\Users\Elias\Desktop\HC Tanzania\Tan (1).jpg
  Mhe. Balozi akikabidhi Hati kwa Mhe Rais Buhari
C:\Users\Elias\Desktop\HC Tanzania\Tan (4).jpg
Mhe. Balozi  akiwa katika mazungumzo ya falagha na Mhe. Rais Buhari baada ya kukabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA


Hivyo makala BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA

yaani makala yote BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/balozi-muhidini-ally-mboweto-akabidhi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BALOZI MUHIDINI ALLY MBOWETO AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS BUHARI WA NIGERIA JIJINI ABUJA"

Post a Comment

Loading...