Loading...

Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu

Loading...
Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu
link : Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu

soma pia


Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu

Mwambawahabari
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ameondoka katika uwanja wa ndege wa Dodoma usiku wa kuamkia leo kwenda Nairobi kwa ajili ya matibabu.

Lissu  alijeruhiwa jana akiwa kwenye gari nyumbani kwake Area D, mjini Dodoma baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulika.

Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini amesema, katika safari hiyo Lissu ameambatana na mkewe, madaktari wawili wasio na mipaka, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.

Selasini amesema kuwa Lissu anapelekwa katika Hospitali ya Aga Khan mjini Nairobi.

Ndege hiyo iliyombeba ya 5H-ETG imeondoka katika Uwanja wa Dodoma saa sita na robo usiku.


Hivyo makala Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu

yaani makala yote Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/09/jinsi-tundu-lissu-alivyopelekwa-nairobi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Jinsi Tundu Lissu alivyopelekwa Nairobi kwa Matibabu"

Post a Comment

Loading...