Loading...

HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID

Loading...
HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID
link : HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID

soma pia


HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID

MWAMBA WA HABARI
Igawa kumekuwa na kukwepa maneno hapa na pale, imeelezwa kuwa Real Madrid imekuwa ikifanya juhudi ikiwa ni pamoja na kuwatumia wachezaji kadhaa kuhakikisha wanamnasa Neymar.

Wachezaji wanaotumika ni wale raia wa Brazil walio katika kikosi hicho cha mabingwa wa Ulaya lakini hata wale wakongwe waliowahi kuitumikia.

Marcelo na Casemiro ni kati ya wanaotumiwa na Madrid kuhakikisha inamnasa Neymar kutoka PSG na kumrejesha Ufaransa lakini safari hii Madrid.

Neymar aliwahi kutua Madrid akiwa kinda lakini baadaye akarejea nchini Brazil na kuendelea na timu yake ya Santos ambayo ilimkuza kisoka, kumfaya awe maarufu kabla ya kujiunga na FC Barcelona.


Hivyo makala HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID

yaani makala yote HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/hawa-ndiyo-wanahusika-na-neymar-kutua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "HAWA NDIYO WANAHUSIKA NA NEYMAR KUTUA REAL MADRID"

Post a Comment

Loading...