Loading...
title : RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI, DOMINIKA YA 13, KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM
link : RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI, DOMINIKA YA 13, KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM
RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI, DOMINIKA YA 13, KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Julai 1, 2018 ameungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Julai 1, 2018 ameungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mstaafu Mhe. Thomas Mihayo, ambaye ni mmoja wa wazee wa kanisa leo Julai 1, 2018 alipoungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana amani na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.Picha na IKULU
Hivyo makala RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI, DOMINIKA YA 13, KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM
yaani makala yote RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI, DOMINIKA YA 13, KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI, DOMINIKA YA 13, KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/rais-dkt-magufuli-asali-ibada-ya_30.html
0 Response to "RAIS DKT. MAGUFULI ASALI IBADA YA JUMAPILI, DOMINIKA YA 13, KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM"
Post a Comment