Loading...

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI

Loading...
WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI
link : WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI

soma pia


WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa 38 wa Mawaziri wa Madini  kutoka nchi wananchama wa Ukanda wa  Maziwa Makuu kwenye   Kituo cha Utafiti  na uendelezaji wa sekta ya Madini, Kundichi jijini Dar es salaam, Juni 8, 2018. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimsikiliza Meneja wa Maabara ya Kemia na Mazingira wa Kituo cha Utafiti na Uendelezaji wa Sekta  ya Madini, Bw.  Charles Butete baada ya kuzindua maabara hiyo , kunduchi jijini Dar es salaam, Juni 8, 2018. Wapili kushoto ni Waziri wa Madini, Angela Kairuki. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi  kutoka nchi wanachama wa Ukanda wa   Maziwa Makuu baada ya kufungua Mkutano 38 wa  Mawaziri wa Madini kutoka nchi hizo kwenye Kituo cha utafiti na uendelezaji wa sekta ya Madini, Kunduchi jijini Dar es salam, Juni 8, 2018. Watatu kulia ni Waziri wa Madini, Angela Kairuki. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua Mkutano wa 38 wa  Mawaziri wa Madini kutoka nchi wanachama wa Ukanda wa  Maziwa Makuu kwenye Kituo cha utafiti na uendelezaji wa sekta ya Madini, Kunduchi jijini Dar es salam, Juni 8, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Hivyo makala WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI

yaani makala yote WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/waziri-mkuu-majaliwa-afungua-mkutano-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MADINI NA KUZINDUA MAABARA YA KISASA YA MADINI"

Post a Comment

Loading...