Loading...

AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA

Loading...
AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA
link : AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA

soma pia


AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA


Lori limegonga daladala tatu eneo la Mlima Mbalizi wilayani Mbeya.

Wananchi wakishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama wanaendelea na jitihada za kulinasua daladala lililolaliwa na lori hilo.

Ajali hiyo imetokea mchana wa leo Julai Mosi, 2018 baada ya lori hilo kugonga daladala zilizokuwa zinatoka stendi ya Mbalizi kuelekea Mbeya mjini. Taarifa kuhusu majeruhi na vifo bado haijatolewa.

Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Amos Makalla na  kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Mussa Taibu wapo eneo la tukio.

Kazi ya uokoaji inaendelea kufanywa na vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakishirikiana na wananchi.
==


Advertisement


Hivyo makala AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA

yaani makala yote AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/ajali-mbaya-ya-barabarani-yaua-watu-20.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "AJALI MBAYA YA BARABARANI YAUA WATU 20 MBEYA"

Post a Comment

Loading...