Loading...

HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI

Loading...
HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI
link : HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI

soma pia


HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI

Na Tiganya Vincent, Tabora
HALMASHAURI ya Wilaya hapa nchini zimetakiwa kutenga maeneo kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo wadogo wa shughuli mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidisa kukopesheka na asasi za kifedha.

Ombi limetolewa jana na Mwenyekiti wa Bodi ya  Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA).aliyemaliza muda wake Captain Mstaafu  John Chiligati wakati akiongea na uongozi wa Wilaya na ule  Halmashauri ya Wilaya ya Urambo.

Alisema uongozi wa Halmashauri umekuwa ukitumia fedha nyingi zake katika kuwalipa posho Mgambo ambao wamekuwa wakifukuza wafanyabiashara wadogo wadogo wakiwakuta wamepanga biashara katika maeneo ambayo sio rasmi badala ya kutumia fedha hizo kwa ajili ya kutenga eneo ambalo watawekwa pamoja ili kuendesha shughuli zao.

“Nawaomba Halmashauri tengeni maeneo ambayo mtawapanga wafanyabiashara kulingana na shughuli zao …kama ni mvua nguo mtaweka sehemu Fulani…kama anauza viatu atakuwa eneo lake ili kuwafanya watu wa Benki iwe kwao rahisi kuwakopesha…benki haziwezi kukopesha mtu anayetembeza bidhaa”alisema.
 Mkuu wa Wilaya ya Urambo Angelina Kwingwa akitoa salamu za Wilaya jana mara baada ya Wajumbe wa Bodi ya Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) wa sasa na baadhi ya waliomaliza muda wao kutembelea Wilaya hiyo kwa ajili ya makabidhiano na kutembelea wanufaika.
 Mratibu wa Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA)  Seraphia Mgembe akitoa ufafanua jana kwa wamefanikiwa urasimishaji wilayani Urambo  wakati Wajumbe wa Bodi ya Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) wa sasa na baadhi ya waliomaliza muda wao walipowatembelea.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) aliyemaliza muda wake Captian Mstaafu John Chiligati akitoa ufafanua jana kwa wamefanikiwa urasimishaji wilayani Urambo  wakati Wajumbe wa Bodi ya Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) wa sasa na baadhi ya waliomaliza muda wao walipowatembelea.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) Balozi mstaafu Daniel ole Njoolay  akitoa ufafanua jana kwa wamefanikiwa urasimishaji wilayani Urambo  wakati Wajumbe wa Bodi ya Mpango wa kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) wa sasa na baadhi ya waliomaliza muda wao walipowatembelea. Picha na Tiganya Vincent.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI

yaani makala yote HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/halmashauri-zashauriwa-kutenga-maeneo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "HALMASHAURI ZASHAURIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI"

Post a Comment

Loading...