Loading...

MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS

Loading...
MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS
link : MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS

soma pia


MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS






Na.John Luhende
 Mwamba wa habari
Mbunge wa kuteuliwa   Mama Janeth Masaburi  amefanya ziara ya kukagua miundombinu ya barabara katika jimbo la Segerea   ambapo amekagua   Barabara ya  seminary  kuelekea Majumba sita  na kujionea uharifu  mkubwa  katika barabara hiyo  ikiwemo  mifereji.

Mama Masaburi ametumia fursahiyo kuzikumbusha mamlaka zinazohusika na barabara  kuitengeneza barabara hiyo kwakuwa imo katika ahadi za Rais zilizotowa wakati wa uchaguzi mkuu 2015.

“Mheshimiwa  Rais akiwa katika kampeni zake wakati huo katika eneo la Vingunguti aliahaidi kuwa ataijenga barabarahiyo kwa kiwango chalami  mimi niwakumbushe tu TARURA  waiangalie na waweze kuitengeneza  hali nimbaya.

Aidha  Mama masaburi  amesema  amefanya ziara hiyo ili kusikiliza kero za wananchi  na kueleza kuwa wananchi  wa eneo hilo wamekuwa wakimwomba marakwa mara  awasaidie  kuhusu matengenezo ya barabara hiyo.

“kilasiku nikipita hapa nasimamishwa na wananchi kwa suala hili , namshukuru mkuu wa majeshi  alitusaidi  kujenga hii mifereji na kutia kifusi lakini sasa imeharibika sana” alisema




Katika haua nyingine Mbunge  huyo  amempongeza Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo  kununua Ndege mpya , ujenzi wa miundombinu ya barabara za kisasa  (fly over)  Reli ya standard gauge na miradi mingine ya huduma za kijamii.



Nao baadhi ya wananchi wa eneo hilo wamemshukuru  mbunge huyo kwa  kwa kufika kujione barabara hiyo na kusikiliza kero zao huku wakiishukuru serikali kwa kuwa tatulia baadhi ya changamoto ikiwemo maji na umeme.




Hivyo makala MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS

yaani makala yote MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/mbunge-janeth-masaburi-akagua-barabara.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MBUNGE JANETH MASABURI AKAGUA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, AKUMBUSHA AHADI YA RAIS"

Post a Comment

Loading...