Loading...

MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA

Loading...
MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA
link : MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA

soma pia


MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA

 Mkuu wa Majeshi  ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akizungumza  alipotembelea banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF  na kuwapongeza NSSF kwa ushindi wa Jumla alipotembelea Banda la NSSF katika maonyesho ya Sabasaba , pembeni ni baadhi ya wafanyakazi wa NSSF. Picha na Mwandishi wetu. Picha na Mwandishi wetu
 Mkuu wa Majeshi  ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akipata maelezo mbalimbali kuhusu huduma za Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutoka kwa Kaimu meneja wa Uhusiano na Masoko Ndugu Salim Khalfan alipotembelea Banda la NSSF katika maonyesho ya Sabasaba .Picha na Mwandishi wetu
 Afisa Uhusiano wa NSSF Bi. Angella Msangi akimkabidhi zawadi za vitabu na vipeperushi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo alipotembelea banda  la NSSF katika maonyesho yanayoendelea ya sabasaba. Picha na Mwandishi wetu
Mkuu wa Majeshi  ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akifurahia jambo na Kaimu Meneja uhusiano na Masoko wa NSSF Ndugu Salim Khalfan alipotembelea banda  la NSSF katika maonyesho yanayoendelea ya sabasaba. Picha na Mwandishi wetu. Picha na Mwandishi wetu


Hivyo makala MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA

yaani makala yote MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/mkuu-wa-majeshi-ya-ulinzi-jenerali.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONESHO YA SABNASABA"

Post a Comment

Loading...