Loading...

NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA

Loading...
NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA
link : NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA

soma pia


NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA

Shirika la Taifa la Hifadji ya Jamii(NSSF) limejipanga kutoa pensheni ya Uzeeni kwa watanzania wote walio katika sekta rasmi na sekta isiyo rasmi 

Hayo yalisemwa katika mkutano baina ya NSSF na viongozi wa vikundi vya uzalishaji mali Mkoani Morogoro jana. Mkutano huo ulifunguliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Stephen Kebwe uliofanyika katika ukumbi wa NSSF Mafao Haouse 

Akizungumza katika mkutano huo Mkuu wa mkoa wa Morogoro aliwaasa wale wote walio katika sekta isiyo rasmi kama vile Mama Lishe, bodaboda, wafugaji, wakulima n.k kubadili mtazamo wa maisha ili kuepukana na changamoto za uzeeni kwa Kujiunga na NSSF kwani watapata pensheni ya uzeeni kama wale walio katika sekta rasmi 

Nae Mweneykiti wa Kamati ya kuratibisha Hifadhi ya Jamii kwa sekta isiyo rasmi Bi Mariam Muhaji alisema, pensheni ya uzeeni ni haki ya kila Mtanzania hivyo ni wakati sasa kwa wale wote walio katika sekta isiyo rasmi kujiunga na NSSF ili kufaidika na Mafao mbalimbali yatolewayo ikiwemo pensheni ya uzeeni. 
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Stephen Kebwe akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Viongozi wa Vikundi vya uzalishaji mali Mkoani Morogoro.
Meneja wa NSSF Shinyanga Ndugu Omary Mziya akizungumzia kuhusu umuhimu wa Hifadhi ya Jamii wakati wa Mkutano na Viongozi wa Vikundi mbalimbali vya uzalishaji mali Mkoani Morogoro
Viongozi mbalimbali wa Vikundi wakiwa katika mkutano ulioratibiwa na NSSF kwa ajili ya elimu kuhusu Hifdahi ya Jamii kwa sekta isiyo rasmi


Hivyo makala NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA

yaani makala yote NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/nssf-kutoa-pensheni-ya-uzeeni-kwa-wale.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NSSF KUTOA PENSHENI YA UZEENI KWA WALE WOTE WALIO SEKTA ISIYO RASMI PINDI WATAKAPOKUWA WANACHAMA"

Post a Comment

Loading...