Loading...

Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum

Loading...
Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum
link : Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum

soma pia


Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akiagana na Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi Zanzibar katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akiondoka nchini  kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu,[Picha na Ikulu.] 06/07/201
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akiagana na  Wazee wa Chama cha Mapinduzi CCM  Zanzibar katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akiondoka nchini  kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu,[Picha na Ikulu.] 06/07/2018. 

MKE wa Rais  wa Zanzibar  Mama Mwanamwema Shein (kushoto) alipokuwa akiagana na  Wazee wa Chama cha Mapinduzi CCM  Zanzibar katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akiondoka nchini akiungana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu,[Picha na Ikulu.] 06/07/2018.   

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akiagana na  katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee  katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akiondoka nchini  kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu,[Picha na Ikulu.] 06/07/2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akiagana na   Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud    katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akiondoka nchini  kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu,[Picha na Ikulu.] 06/07/2018.
VIONGOZI mbali mbali wakimpungia mkono wakati  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein     katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akiondoka nchini  kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu,[Picha na Ikulu.] 06/07/2018.



Hivyo makala Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum

yaani makala yote Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/rais-dk-shein-safarini-uingereza-katika.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Dk Shein safarini Uingereza katika ziara maalum"

Post a Comment

Loading...