Loading...

RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI.

Loading...
RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI.
link : RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI.

soma pia


RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI.

Mwamba wa habari
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda  leo July 12 amemkabidhi  Mwenge wa Uhuru  Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo  baada ya Mwenge huo kukamilisha shughuli ya  uzinduzi na uwekaji wa mawe ya msingi  kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya  shilingi Bilioni 32.

RC Makonda  amesema kuwa ndani ya  siku tano  ambazo mwenge ulikuwa jijini Dar es salaam umefanikiwa kutembelea,  kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi 36  ya maendeleo kwenye wilaya zote tano.

Aidha RC Makonda  amewashukuru wananchi wa Dar es salaam kwa  ushirikiano mkubwa walioonyesha  tangu siku mwenge ulipoingia hadi leo alipoukabidhi kwa  mkoa wa Pwani.


Hivyo makala RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI.

yaani makala yote RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/rc-makonda-akabidhi-mwenge-wa-uhuru-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA MKOA WA PWANI."

Post a Comment

Loading...