Loading...

UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA

Loading...
UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA
link : UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA

soma pia


UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA

UONGOZI wa Yanga umemtambulisha kiungo mahiri Mohamed Banka aliyekuwa anakipiga katika kikosi cha Mtibwa Sugar.

Akizungumza  leo jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa habari Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga Hussein Nyika amesema kuwa Banka amesaini kandarasi ya miaka miwili kwa ajili ya kutumikia kikosi cha wana jangwani hao.

Amesema kuwa, wamemsajili Banka kwa mapendekezo ya kocha kwani aliweza kumfuatilia kipindi cha ligi kuu.

Kwa upande wa Banka mwenyewe amesema kuwa amekuja Yanga kucheza mpira na kuirjesha Yanga katika viwango vyake.

Banka amesema anajua kuwa kuna ushindani wa namba hasa kwa timu kubwa kama Yanga ila kikubwa ni mazoezi tu.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano wa Yanga Hussein Nyika akiwa pamoja na Kiungo Mohamed Banka baada ya kutambulishwa pembeni ni Meneja wa timu Hafidh Saleh.


Hivyo makala UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA

yaani makala yote UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/uongozi-yanga-watambulisha-mohamed-banka.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UONGOZI YANGA WATAMBULISHA MOHAMED BANKA"

Post a Comment

Loading...