Loading...

WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA

Loading...
WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA
link : WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA

soma pia


WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA

*Kamanda wa Polisi aelezea tukio hatua kwa hatua...asema kabla ya kujiua aliandika ujumbe

Na Said Mwishehe, Globu ya jamii

KAMANDA wa Polisi Mkoani ya Mara Juma Ndaki amethibitisha kutokea kwa tukio la askari Polisi PC Nelson William G 3777 kujiua kwa kujipiga risasi kwasababu za wivu wa mapenzi. 

Akizungumza na Michuzi Blog kwa njia ya simu leo jioni hii Kamanda Ndaki amesema askari huyo amejipiga risasi leo saa 8:30 mchana akiwa eneo la kambi za Polisi alikokuwa anaishi. 

Amefafanua kabla ya kujipiga risasi ameacha ujumbe kuwa ameamua kujua kutokana  na wivu wa mapenzi kwa madai amekuwa hana mahusiano mazuri na mwanamke wake ambaye alikuwa ni mpenzi wake. 

Kamanda Ndaki amesema askari huyo kabla ya kuchukua uamuzi huo aliingia pia kwenye malumbano na mpenzi wake baada ya kwenda kwenye chumba cha mpenzi wake na kisha kuamua kuharibu mali alizonunua. 

Amesema baada ya tukio hilo la kuharibiwa mali mwanamke aliamua kwenda kutoa taarifa Polisi, kitendo ambacho askari William hakikumfurahisha kwani aliona kama amedhalilishwa. 

Hivyo akaona njia pekee ni kuchukua uamuzi wa kujiua na ilipofika muda huo akaamua kujiua kwa kujipiga risasi. 

Kamanda Ndaki alipoulizwa kama kuna mtu yoyote amekamatwa amejibu hakuna kwani askari ameacha ujumbe kuwa amejiua kwasababu hizo ambazo kimsingi ni wivu.

Amesema kwa sasa mwili wa askari huyo umehifadiwa chumba cha kuhifadhia maiti wakati taratibu za mazishi zikiendelea. 

Alipoulizwa kama askari huyo alikuwa wakiishi akiishi pamoja na mpenzi wake huyo,Kamanda Ndaki amejibu hawakuwa wakiishi pamoja kwani mwanamke alikuwa ana chumba chake na askari alikuwa anaishi kambini. 


Hivyo makala WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA

yaani makala yote WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/wivu-wa-mapenzi-wasababisha-askari.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WIVU WA MAPENZI WASABABISHA ASKARI POLISI KUJIUA KWA KUJIPIGA RISASI MARA"

Post a Comment

Loading...